Mark 1:14-15

14 aBaada ya Yahya kukamatwa na kutiwa gerezani, Isa aliingia Galilaya akaanza kuhubiri habari njema ya Mungu, 15 bakisema, “Wakati umewadia, Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema.”

Isa Awaita Wanafunzi Wanne

(Mathayo 4:12-22; Luka 4:14-15; 5:1-11)

Copyright information for SwhKC